Duh, alipiga number ngapi?Ndio alicheza mpira mwingi sana
watalipwa na mzee AkilimaliHalafu mbaya zaidi, anaiachaje Yanga wakati mikataba ya kuwalipa wachezaji wengi ameingia yeye? Nani atamlipa Ngoma, Kamusoko, Niyonzima na funga kazi Obrey Chirwa?
***Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Mkuu mwana yanga punguza jazba .
Ya siasa yamekujaje huku tena ?Mmemshindwa Magufuli mmehamia Yanga.
Ya siasa yamekujaje huku tena ?
Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Wanachama wa Yanga hamna kitu .Hujuma kubwa ya Manji kwa Yanga nin pale anapodai kuwa kampuni anayomiliki inaidai Yanga shilingi zaidi ya bilioni 5. Itaingiaje akilini nyeye mwenyekiti ana-negotiate na yeye mwenyewe yaani kampuni yake na yeye mwenyewe ndiye anayeweka kumbukumbu ya deni kwenye vitabu vya Yanga na vya mkopeshaji yaani kampuni yake? Halafu bahati mbaya zaidi ni kuwa wanachama wa Yanga wanaamini kuwa Manji anatoa misaada kumbe ni mikopo ambayo haina uthibiti wowote kwa upande wa Yanga
Kichwa cha habari na yaliyomo tofauti kabisa.... Elimu bure sasa hivi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Njama zake za kuipata yanga kwa Bwerere zimeisha ?
Sasa huu uzi unabidi ufungwe rasmi, nadhani kila mtu anajua kuwa juzi tu jamaa ameunda jeshi lake na kuwaita akina Bin Khleb kundini.