Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Je timu yenu ina mipango yoyote ya kujitegemea au ndio mnamtegemea Manji aendelee kulipa mishahara hata ya viongozi wenu ?Yanga tumerudi na tupo sawa kabisa,Haya umeanza tena majungu yenu na wa mchangani watabaki kuwa wamchangani tu.
Huyo mtu unayesema kuwa Manji anaihujumu yanga hebu sikia maoni yake kuhusu klabu hiyo ambayo alitamka kwenye mkutano uliopita hapo Diamond Jubilee kuwa:-Hii ni baada ya juhudi zake za kuipata bure timu hiyo kugonga ukuta .
Wanayanga wanashangazwa na mtu ambaye ni kiongozi wa yanga ambaye ana uwezo wa kuitafutia yanga udhamini mkubwa lakini eti haiwezekani mpaka apewe umiliki wa timu ! Yaani Manji mwenyekiti hawezi ila Manji mfanyabiashara anaweza ! Maajabu !
Hujuma zimeanza kwenye ngao ya hisani , timu inaongoza kwa dk 90 inakuwaje inakosa ngao ya jamii ?
Poleni wana Yanga , Njaa mbaya sana .
Sasa kwanini amekengeuka ?Huyo mtu unayesema kuwa Manji anaihujumu yanga hebu sikia maoni yake kuhusu klabu hiyo ambayo alitamka kwenye mkutano uliopita hapo Diamond Jubilee kuwa:-
- 1. Dhamira yake haitamruhusu kuinunua Klabu kwani thamani ya Yanga ni zaidi ya fedha na ndiyo iliyoanzisha
Tanganyika na baadaye Tanzania, kwani waasisi wa taifa hili walikuwa ndani ya Yanga ambapo waliikomboa si
Tanzania tu bali Afrika;
2. Aliwakumbusha wanachama wa klabu hiyo kuwa Jengo la Klabu ya Yanga huitwa Ikulu na watu wanaofanya kazi
Ikulu kwenyewe (State House);
3. Mtaa wa Twiga ambao ndiko makao makuu ya Klabu ni Nembo ya Taifa;
4. Mwenge ulioko kwenye nembo ya Klabu ndiyo ambao hukimbizwa nchini kila mwaka;
5. Rangi za klabu hiyo ndiyo rangi za taifa;
Alimalizia kwa kusema kuwa kama wanachama watamuuzia yeye [au mtu mwingine], itakuwa kama ameuziwa Taifa hili, jambo ambalo ni ukoloni.
HUYU NDIYE MTU UNAYESEMA KUWA ANAIHUJUMU YANGA
Hivi wewe uwe unajitolea kwenye taasisi ambayo haina uwezo wa kujiendesha kiuchumi, unapotumia uwezo wako,akili yako na ubunifu wako ili mambo yaende halafu wakatokea vipapasi ambao hawachangii chochote kile kwenye taasisi hiyo na kuanza kukejeli yale unayoyafanya na hakuna anayekulinda kati ya wadau ambao wanahusika moja kwa moja na taasisi hiyo. UTAJISIKIAJE????Sasa kwanini amekengeuka ?
Ningekuwa mimi ningejisikia vibaya sana , ningejiondokea zangu na kuwaachia timu yao , nisingejaribu kuwarubuni ili wanikodishe .Hivi wewe uwe unajitolea kwenye taasisi ambayo haina uwezo wa kujiendesha kiuchumi, unapotumia uwezo wako,akili yako na ubunifu wako ili mambo yaende halafu wakatokea vipapasi ambao hawachangii chochote kile kwenye taasisi hiyo na kuanza kukejeli yale unayoyafanya na hakuna anayekulinda kati ya wadau ambao wanahusika moja kwa moja na taasisi hiyo. UTAJISIKIAJE????
Haya yote yalitokea baada ya kuomba ridhaa ya wanayanga wamkodishe. Au mlitaka aombe kuuziwa hisa 51%?Ningekuwa mimi ningejisikia vibaya sana , ningejiondokea zangu na kuwaachia timu yao , nisingejaribu kuwarubuni ili wanikodishe .
Njama zake za kuipata yanga kwa Bwerere zimeisha ?
aiseee !!!KWELII M N MWANAYANGA DAMU BILA HAWAAAWAZEE TUTArAJIE MIMBA YA MAPACHA WATATUU
KWAWENYE KUMBUKUMBUU KICHAPO CHA TANO KILIANZIA KWAHUYU MZEE WALIANZA MALUMBANO WEE HAPO KATI MWISHO NZEEENZEELE
ASBH NJEMA