Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kuhusu migogoro katika klabu ya Yanga ikimhusisha mfadhili wao mkuu Manji.Mara nyingi amekuwa anatishia kujitoa na wanachama wanamuomba arudi.
Wiki iliyopita gazeti la Mwanahalisi liliandika kumhusu mfadhili huyu na naanza kujenga hisia ya kuwa kuna agenda ya siri nyuma ya ufadhili huuna naamini anajenga ngao kujikinga na hatua zozote kwa kuwatumia binadamu wenziwe hasa wapenda mpira na wapenzi wa Yanga ambao si haba hapa nchini.
Manji kama walivyo wahindi wenzake wooote hapa TANZANIA wamefanya hii nchi kama tambala kwa kutumia njaa ya watu wetu na umbumbumbu wetu, lakini nawambia siku inakuja ambayo watalia na kusaga meno na hilo halina shaka hata kidg.
It is very true!this man is notorious!!Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kuhusu migogoro katika klabu ya Yanga ikimhusisha mfadhili wao mkuu Manji.Mara nyingi amekuwa anatishia kujitoa na wanachama wanamuomba arudi.
Wiki iliyopita gazeti la Mwanahalisi liliandika kumhusu mfadhili huyu na naanza kujenga hisia ya kuwa kuna agenda ya siri nyuma ya ufadhili huuna naamini anajenga ngao kujikinga na hatua zozote kwa kuwatumia binadamu wenziwe hasa wapenda mpira na wapenzi wa Yanga ambao si haba hapa nchini.
Nimekuwa nikisoma mara kwa mara kuhusu migogoro katika klabu ya Yanga ikimhusisha mfadhili wao mkuu Manji.Mara nyingi amekuwa anatishia kujitoa na wanachama wanamuomba arudi.
Wiki iliyopita gazeti la Mwanahalisi liliandika kumhusu mfadhili huyu na naanza kujenga hisia ya kuwa kuna agenda ya siri nyuma ya ufadhili huuna naamini anajenga ngao kujikinga na hatua zozote kwa kuwatumia binadamu wenziwe hasa wapenda mpira na wapenzi wa Yanga ambao si haba hapa nchini.
Hilo mbona liko wazi! Ila wapenzi wa Yanga hasa wale wazee hawataki kulielewa hilo
Hii ni kuendekeza njaa tu.... vile vizee viswahili ubwabwa haviambiwi kitu linapokuja swala la 'kitu cha bure'... kazi kulamba miguu ya fisadi manjisio hawajui mkubwa,wanmtumikia kafili wapate ujira wao.njaa mbaya kaka!
swala la ushabiki wa simba na yanga ni sumu mbaya kwa watz inayowafanya kutoona mbali na kukaa wakiongea na kufikiria mambo yaleyale yasiyona na mabadiliko wala maendeleo yoyote. Manji anajua watz ni wafivu kufikiri na anajua fucus yao ipo kwa simba na yanga hivyo anajikinga kwa kutumia ujinga,njaa, ufivu wa kufikiri na mgongo wa udini kufanikisha ufisadi wake!
Mbaya zaidi kama walivyomafisadi wenzake ni watu wameishateka, kupuvusha na kuzoofisha nguvu ya serikali, mahakama na sasa bunge letu. Kesi anayomshitaki Mengi kwa kumuita fisadi papa inadhihirisha jeuri hayo na jeuri aliyonayo!!
kilichobaki ni wananchi kujipanga na kuchukua maamuzi zidi yake bila ya kutegemea serikali iliyopo wala mahakama!! hata ikitokea anapita angalau gari lake likapondwa na mawe message itakuwa imefika kwake na kwa mafisadi na kwa wahindi wenzake!
Manji kama walivyo wahindi wenzake wooote hapa TANZANIA wamefanya hii nchi kama tambala kwa kutumia njaa ya watu wetu na umbumbumbu wetu, lakini nawambia siku inakuja ambayo watalia na kusaga meno na hilo halina shaka hata kidg.
yanga haiwezekani bila Manji... ule msemo maskini jeuri ubaki kuwa msemo tu! yanga wasijaribu kuufanya kwa vitendo..:lol::lol: