tunasubilia ainunue mbowe tuivunje kama BilzWazee wa kupokea kodi tu kwann msinunue hyo nakumat!au bado hamuwezi kuendesha mambo
Ova
Acha umbea yanga inakuhusu nini....na vipi kuhusu timu ya Yanga, je?
Mkuu,Unakoment huku unajamberjamber Kodi Kodi. Kodi my foot
@@@ zenu nendeni mkawasaidie kuwatafutia siko wakulima wa mbaazi huko syo mnakaa natunasubilia ainunue mbowe tuivunje kama Bilz
SIKO ndio vitu gani?@@@ zenu nendeni mkawasaidie kuwatafutia siko wakulima wa mbaazi huko syo mnakaa na
Na mitumbo YENU mikubwa na misuti mnasubiriia hela za kuletewa tu......tafuteni pesaaa
Ova
Biashara nyingi za Manji zipo Asia, dubai, S.Africa na siyo Tanzania tu.... Bado shekeli ipoAnahela au anataka.kuketa udalali tena wa mali kauli kama kawaida yake?
Hivi mtu anayevuta unga yeye mwenyewe hauzi wala hampi mwingine,halafu huyo mtu ni tajiri ameajiri watu wako hana kosa lolote kwanini umsumbue? Ushamba ni zigo zito sana.ndio anavuta na alipe kodi
Ha ha Manji kiboko cha Magufuli pamoja na kumuweka ndani ili amvuruge kisaikolijia,kumvunjia hesima anamzaba za uso the guy he has money kumuweka Manji ndani wahindi wamekataa kununua mbaazi wakulima wetu tabu wamezipata wanalia na bei Magu anamfurahisha bashite in the expence of our Wakulima kweliZaidi ya MKWEPA KODI vile vile ni FisadiKuu na mtoa rushwa alifikiri Magufuli ananunulikaView attachment 616113
Chadema jumba la mafisadi lazima apate wa kutetea
EEh Mungu tuepushe na kikombe hiki cha hawa washamba mambumbu can you even real think mtu atawaza wazo la kishamba namna hii hivi nyie watawala mbona hamjifunzi tuu kwa nini usifurahie kwamba vijana mulioshindwa kuwapa kazi watapata kazi why ar you bitter you even think evilasije akawa anainvest kwa Kuikomoa serikali .. Atambue tu Serikali haikomoleki .
Mbaya zaidi tunapoizungumzia serikali na yeyr binafsi ni sehemu ya serikali sasa kama anadhani anakomoa basi anajikomoa mwenyewe .
Mambo matatu ya kuogofya ni .
1. Moto
2. Maji
3. Serikali.
sheria inamsumbua hakuna mtu anayemsumbuaHivi mtu anayevuta unga yeye mwenyewe hauzi wala hampi mwingine,halafu huyo mtu ni tajiri ameajiri watu wako hana kosa lolote kwanini umsumbue? Ushamba ni zigo zito sana.
Wawekeze wao tu basi,tuoneasije akawa anainvest kwa Kuikomoa serikali .. Atambue tu Serikali haikomoleki .
Mbaya zaidi tunapoizungumzia serikali na yeyr binafsi ni sehemu ya serikali sasa kama anadhani anakomoa basi anajikomoa mwenyewe .
Mambo matatu ya kuogofya ni .
1. Moto
2. Maji
3. Serikali.
Wewe unalipa kodi sh ngapi? Achani ushabikiSio kufungiwa office alipe billion 20 za kodi huyo MKWEPA KODI, kama halipi hata hizo Nakumatt tutazifunga