Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Habari wanaJF,
Yanga timu yangu pendwa kabisa imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa takribani msimu mmoja na nusu hivi tangu uongozi uanze kuyumba na kupalaganyika,timbwili lilianza baada ya Yusuph Manji kujiuzuru na aliyekuwa kaimu mwenyekiti Clement Sanga kuchukua nafasi.Timu ilimuelemea Sanga na kushindwa kabisa na yeye akajiuzuru pamoja na baadhi ya wajumbe akiwemo Salum Mkemi.
Nimzunguzie Manji, huyu jamaa inaipenda na anataka kuiendesha Yanga ila njia anazotumia nizakitoto mno,anataka aipate Yanga kama mtu aliyebembelezwa na mwokozi kiasi kwamba anatengeneza magenge ya watu wanaopiga kelele kuonyesha wanamtaka Yanga, ili aipate kirahisi,baada ya kuona mission imefail ameamua kuandika barua ya kurudi Jangwani,binafsi naomba tusirudi nyuma tuendelee na utaratibu wa uchaguzi na Manji akitaka akachukue fomu apambane nawenzake kina Tarimba na si kuleta ujanja ujanja tu.
Wanayanga tunahitaji mabadiriko,tuache kurudi nyuma
Yanga timu yangu pendwa kabisa imekuwa ikipitia kipindi kigumu kwa takribani msimu mmoja na nusu hivi tangu uongozi uanze kuyumba na kupalaganyika,timbwili lilianza baada ya Yusuph Manji kujiuzuru na aliyekuwa kaimu mwenyekiti Clement Sanga kuchukua nafasi.Timu ilimuelemea Sanga na kushindwa kabisa na yeye akajiuzuru pamoja na baadhi ya wajumbe akiwemo Salum Mkemi.
Nimzunguzie Manji, huyu jamaa inaipenda na anataka kuiendesha Yanga ila njia anazotumia nizakitoto mno,anataka aipate Yanga kama mtu aliyebembelezwa na mwokozi kiasi kwamba anatengeneza magenge ya watu wanaopiga kelele kuonyesha wanamtaka Yanga, ili aipate kirahisi,baada ya kuona mission imefail ameamua kuandika barua ya kurudi Jangwani,binafsi naomba tusirudi nyuma tuendelee na utaratibu wa uchaguzi na Manji akitaka akachukue fomu apambane nawenzake kina Tarimba na si kuleta ujanja ujanja tu.
Wanayanga tunahitaji mabadiriko,tuache kurudi nyuma