Manji ni mmiliki wa Jengo jipya la Clouds Entertaiment?

jengo ni la clouds wenyewe na wala manji hausiki, i was involved in the early stages when joseph kusaga (ceo) acquired that property! tusifikiri kila mzungu ni padri kama kule kwetu kijijini!



bora uwambie...hii kalii
 
Erooo Expert broker huyu Joseph Kusaga alinunua kwa nani?
 
Jengo ni la Clouds wenyewe na wala Manji hausiki, I was involved in the early stages when Joseph Kusaga (CEO) acquired that property! Tusifikiri kila mzungu ni padri kama kule kwetu kijijini!

Karibu jamvini Mr Gerald
 
Mkuu umejoin jf for this thread specifically nini? naona join date jun 2009...aminia..kuna kitu!!

Nina thread nyingi tu mkuu, na sijajoin specifically for this thread, jaribu kuangalia thread zangu! Mimi ni broker wa real estate, so kama ishu naijua nachangia esp in my field, ama kuna ubaya mkuu????????????
 
Erooo Expert broker huyu Joseph Kusaga alinunua kwa nani?

Ethics zangu za kazi haziniruhusu ku-disclose info za mteja wangu! Wewe former owner unamtaka wa nini? Au ulikuwa unamdai? Mfuate Kusaga atakusaidia.
 
Mkuu umejoin jf for this thread specifically nini? naona join date jun 2009...aminia..kuna kitu!!

Ethics zangu za kazi haziniruhusu ku-disclose info za mteja wangu! Wewe former owner unamtaka wa nini? Au ulikuwa unamdai? Mfuate Kusaga atakusaidia.

Nina thread nyingi tu mkuu, na sijajoin specifically for this thread, jaribu kuangalia thread zangu! Mimi ni broker wa real estate, so kama ishu naijua nachangia esp in my field, ama kuna ubaya mkuu????????????

ExpertBroker unatuaribia shgghuli sisi raha yetu ni kuhusisha kila kitu na Manji au Rostam.
 
ExpertBroker unatuaribia shgghuli sisi raha yetu ni kuhusisha kila kitu na Manji au Rostam.

Nimekuelewa mkuu, lakini sidhani kama ni ni lengo hasa la JF kwamba kila kitu ni Manji na Rostam! Nachukia sana Mafisadi bt kama kuna uelewa wowote wa topic inayoongelewa nafikiri si kosa kuchangia! unless unasema ishu akishatajwa Manji na Rostam haitaji kupingwa, that we should all go positive that YES, YES, Manji is involved! Rostam is involved1, even though you know the real picture!!!

Au unamaanisha nini mkuu? Mfano naelewa kabisa kwamba mradi wa DarVillage ni wa Zadouk lakini unataka ulazimishe kwamba ni wa manji au rostam hata kama zadouk kakopa na ikaeleweka?

If it is a matter of dancing the tune, nashindwa kukusoma vizuri!

Nafikiri aliyeuliza alilenga kuelewa zaidi!
 
Kwani huyo Manji amekuwa nani kila kitu yeye hebu anayejua vizuri facts zake atueleze vizuri
 
Tukitaka kupata ukweli wa mambo lazima tuondoe kwanza tofauti zetu then tujadili halafu tuwerealistic
 
Ila naona huyu Manji kwa sasa hatufai tena kwani yeye Kisutu hana vigezo vya kupelekwa ili tufanye mambo mengine?
 
Huyu broker is so amazing eeh! join date ni Monday Jun 2009 that means yesterday na inaonesha amekwisha tuma post 16! mkali eeh karibu mzee uendelee kumtetea Manji lakni ujue tu no matter how deep you bury the truth it will always manage to surface!
 
 
Manji hamiliki jengo la Quality plaza tena, ameshaliuza kwa PSPF kwa 36bn. yeye ni mpangaji tu
 
jamaa eeh nyumba yenyewe ya kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…