Berlin storm
Member
- Feb 6, 2023
- 60
- 38
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kakHakuna kitu hapo mkuu, Manjis c hapo nyuma ya Msuya Pharmacy Mwanza Town!?
Sina pa kukimbia ndug yangu ni mungu tu na kudra zakeHakuna kitu hapo mkuu, Manjis c hapo nyuma ya Msuya Pharmacy Mwanza Town!?
Maana angu hakuna tatizo, mkojo ni msafiSina pa kukimbia ndug yangu ni mungu tu na kudra zake
Maana angu hakuna tatizo, mkojo ni msafi
Kwani unashida gani mkuu!??Dah sas kak ko sina gonjwa la zinaa na nyie mnapatikana wapi kaka huenda ntapat huduma
Labda ukajiribu kupima kwingine Ila hapo Imeandikwa uko Safi hauna tatizo kwa mujibu wa vipimo ni negative & NIL ingekua positive tungekwambia umenasa Anza kutumia doziHivyo ni badh ya vipimo nilivyo pima kama mwaka mmoja uliopita kwenye tatizo langu la muwasho sugu sehem za siri wataalam kalibun icho kichina apo ni jina nimelificha kwa kuweka icho kistika
Na muwasho sugu sehem za siri bro sijui ni fangasi huu mwaka wa Saba sasa naangaika daw namtumia kinabao Yani naogoapa kutembea juan jins navyo washwa na nikitembea kama kuna MTU ananichanachana korodaniKwani unashida gani mkuu!??
Hao manjis tulikuwa tunafanya nao kazi tu kuna muda nilikuwa niko kituo kimoja hapo Mwanza town nikahama sasa niko mbali kidogo na Mwanza
Kwel broLabda ukajiribu kupima kwingine Ila hapo Imeandikwa uko Safi hauna tatizo kwa mujibu wa vipimo ni negative & NIL ingekua positive tungekwambia umenasa Anza kutumia dozi