Manjonjo vikolombwezo na madoido katika..!

Manjonjo vikolombwezo na madoido katika..!

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Sijui nianze vipi katika kuulizia lakini heading yenyewe inajieleza ,maana masuali mingine yanakuwa rahisi na wanaotaka kujibu wanakuwa wamishalielewa suali hata kama halijamaliza kuulizwa ,sasa hapa mnasemaje ?
 
Suali naona limekuwa gumu sana ,tatizo watanganyika hawayajui mambo wao inakuwa kama magogo tu kabla ya majambozi kuna vitu.
 
Suali naona limekuwa gumu sana ,tatizo watanganyika hawayajui mambo wao inakuwa kama magogo tu kabla ya majambozi kuna vitu.


Mkuu Mwiba, kama huan Access ya mambo yetu yale wasiliana na mkuu Invisible haraka iwezekanavyo....alas kumbe mfungo unaanza/umeshaanza ivo?
 
mahanjumati kind of stuff....inabidi jamii yetu iboreshe jando (kwa karne hii)au hata kwa cd...watu wafundishwe maadili ...ama kuwe na bachelor party kijana akikaribia kuoa....maana ni balaa sasaaa....unaweza ukadhani wanajuaa kumbe wanachezacheza na kijana akawa anaibiwa maana hafiki pale mwenzake anapotarajia...
 
mahanjumati kind of stuff....inabidi jamii yetu iboreshe jando (kwa karne hii)au hata kwa cd...watu wafundishwe maadili ...ama kuwe na bachelor party kijana akikaribia kuoa....maana ni balaa sasaaa....unaweza ukadhani wanajuaa kumbe wanachezacheza na kijana akawa anaibiwa maana hafiki pale mwenzake anapotarajia...
Mzee lete ufundi hapa kidogo panaelekea pana kaujuzi na kuelimishana ndio moja ya mikakati ya JF ,tatizo hapa kuna watu wanajiona wanajua na utawaona wanazarau tunaouliza ,kumbe na wao hawajui kitu ila wanaziba pengo ,jamani kuuliza si ujinga .Watu wana roho za kolosho hapa ,hawataki wengine tupate elimu ,ivi lile somo la ngono nasikia siku hizi linataka kuanzishwa huko mashule au lishaanzishwa ? Yaani kama lipo nitaludia kusoma japo iwe wanatufundisha wakati wa jioni.
 
Back
Top Bottom