Nieleweshe basii, nimetoka mweupe.Kweli imeisha hiyoo
Sijaelewa hata moja..Ngoja wajeNieleweshe basii, nimetoka mweupe.
Let's meet at the top, cheers 🥂
Aisee😅, nikajua mimi tu na matatizo yangu.Sijaelewa hata moja..Ngoja waje
Aisee umejuaje chief? Vipi unatumia K vant? Karibu, tumshushe🥃.Umesoma kilevi sana ndo maana ujaelewa🍺
Sasa umeshadadia nini..?Sijaelewa hata moja..Ngoja waje
Kimbelembele changu kitaniponza.Sasa umeshadadia nini..?
We nae ni wakula mboko tu unashangilia kitu hata hukijui nyie ndo mlikuwa hata darasani mnatuponza..😅
Ili nikusamehe nitumie namba yako ndo upate msamaha..😅Kimbelembele changu kitaniponza.
🤣🤣🤣🤣 Subiri sikukuu iisheIli nikusamehe nitumie namba yako ndo upate msamaha..😅
Bado sana mpaka BaadaeNa unaonekana umeshalewa 😅
Tena unanipangia..!!🤣🤣🤣🤣 Subiri sikukuu iishe
🤣🤣🤣 Unaota subiri hadi xmassTena unanipangia..!!
We hapo ulitakiwa ujibu tu "haya baba"
Sasa kwakuwa umekuwa mkaidi tuma namba yako na yarafiki wako wakike mzuri mzuri haraka..
Manka: Umechoka!? Oga, kula, Pumzika, lala Ukiamka Tunaendelea, Sina Muda wa kuanzisha Mahusiano mengine Usinichanganye kabisa chalaangu haikatai,
Na imeisha hiyo