Hivi huyu jamaa si bado ni Seneta huko kwao Ufilipino?Kiufupi ni kwamba muda huu saa 3 na 35 ya asubuhi hii kamchakaza tena bondia wa Korea Kusini ajulikanaye kama DK yoo kwa knockout round ya 6...
Kwamba uwezo wa pacouiao huujui ama unataka kusema je historia yake huijui pia duuuh kazi ipo aseeHakuna ndondi hapo ,hizo ni burudani tu kama wanazocheza akina Mayweather siku hizi kwa kwenda japani na china kichagua watu ambao asili Yao sio ndondi na tena dhaifu ili kucheza nao na kikusanya mahela. Lengo la waandaaji ni kuwaona tu hao na sio kitu Cha kumfuatilia eti Kuna ndondi
Namkubali sana mwamba Pacman na yuko so religious, for all his messages hapakosi maudhui ya Mungu wetu soteKiufupi ni kwamba muda huu saa 3 na 35 ya asubuhi hii kamchakaza tena bondia wa Korea Kusini ajulikanaye kama DK yoo kwa knockout round ya 6, katika pambano lililokuwa la round sita
Jamaa Mungu alimbariki kipaji na kwa kweli anakitumia vyema sana yaaani Manny Pacquiao ni urithi wa dunia kabisa katika nyanja ya boxing, imagine katika umri alio nao jamaa lakini bado anawachakaza mabondia vijana namna hii daah
Nimekaa nimeangalia pamoja na umri wake kumtupa mkono lakini bado mikono yake iko vyema sana hajapoteza stance wala stamina kiufupi jamaa anajua sana kupigana.
View attachment 2442654