kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
Duuh hii Kali.!!Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!
Manyowariiiii. Tuna fisiemu inajua kupiga mbizi kweri kweri. Tuko on right truck.Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!
Aisee!🤔Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!
Ongeza na pweza kwenye orodha.....Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!
Fanya ibada labda utapona🤣Kuna mdau huku kauliza kama Tanzania tuna submarine[nyambizi], napenda kumjulisha kwamba tunazo za kutosha, pale ziwa victoria tuna sangara, sato, mba na dagaa wa kutosha, ukienda bahari ya hindi kuna tassi, pweza na wengineo kibao, kwenye mito kuna kambale, vyura n.k.....kazi kwako....tupo vizuri kiulinzi!!!!!!!!!!!
sawa mkulungwa!!!!Ongeza na pweza kwenye orodha.....