zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Je, wangapi wanafahamu historia ya Mansa Mussa mtu anayetajwa katika vitabu vya historia kuwa mtu tajiri zaidi duniani kuwahi kutokea.
Historia inasema alikuwa ni mfalme maarufu zaidi na aliyependwa katika ufalme wa Mali. Alirithi ufalme kutoka kwa mfalme Sundiata Keita, muanzilishi wa Mali empire ambayo zamani ilijulikana kama Kangaba.
Safari yake (Mansa Mussa) ya kwenda kuhiji huko Mecca ilkuwa yenye baraka na kustajabisha kwani Alibeba dhahabu nyingi na alikuwa akizigawa kwa watu alipokuwa njiani kipande kimoja tu cha dhahabu kilitosha kabisa kumtajirisha maskini.
Kwa wakati ule usingeweza kumlinganisha na Bill Gates, Dangote ama Jeff Besoz wa sasa.
Hakika ni historia kubwa.
Historia inasema alikuwa ni mfalme maarufu zaidi na aliyependwa katika ufalme wa Mali. Alirithi ufalme kutoka kwa mfalme Sundiata Keita, muanzilishi wa Mali empire ambayo zamani ilijulikana kama Kangaba.
Safari yake (Mansa Mussa) ya kwenda kuhiji huko Mecca ilkuwa yenye baraka na kustajabisha kwani Alibeba dhahabu nyingi na alikuwa akizigawa kwa watu alipokuwa njiani kipande kimoja tu cha dhahabu kilitosha kabisa kumtajirisha maskini.
Kwa wakati ule usingeweza kumlinganisha na Bill Gates, Dangote ama Jeff Besoz wa sasa.
Hakika ni historia kubwa.