Ni swali fikirishi. Nafasi zote za chini ya urais, watu hujiuzuru kisha kugombea mfano madiwani na wabunge.
Ina maana hakuna namna yoyoye hapa duniani Rais anaye gombea asivuliwe kwanza hadhi yake ili agombee sawa na wenzake?
Hatuoni kama ni maigizo tu.
Ina maana hakuna namna yoyoye hapa duniani Rais anaye gombea asivuliwe kwanza hadhi yake ili agombee sawa na wenzake?
Hatuoni kama ni maigizo tu.