Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Siku zote Miradi ya Maendeleo kwa kanuni za kiuchumi mara zote ama mara nyingi hutumia zaidi concessional loans na siyo commercial loans.
ROIs kwa miradi hii huwa inachukua muda mrefu ndiyo maana ushauri wa kitaalam huelekeza mikopo itoke ktk Benki za Maendeleo na siyo za Biashara.
Benki hizo hutoza riba ndogo sana na pia hutoa grace period ya takribani miaka 5 na muda wa marejesho huwa ni miaka mingi (20-50).
Ilihali benki za kibiashara hutoza riba kubwa, grace period ya mwaka na muda wa marejesho ni mfupi. Mikopo hii inafaa kwa ajili ya miradi ya uzalishaji zaidi kama vile ujenzi wa viwanda na mambo yenye kuweza kutengeneza hela za haraka haraka.
Reli, barabara, umeme, ujenzi wa majengo ya huduma za kijamii ni baadhi ya mambo/ miradi inayochukua muda mrefu kurejesha faida ya uwekezaji ambapo kama umechukua mkopo kutoka Benki hizi za kibiashara hutoweza kumudu madeni husika.
The other development financing options badala ya kukopa kutoka kwenye Benki za Kibiashara ni kupitia PPP (Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi).
Tuna Sera, Mkakati wa Utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni na Miongozo tangu mwaka 2009 (binafsi nimeshiriki mchakato wa uandaaji wa hizi nyaraka) lakini hadi leo hii mradi pekee wa wazi uliokamilika na wenye kutumia huu mfumo wa PPP ni huu wa BRT (mwendokasi - Dar) japo wenyewe ni mkopo wa Benki ya Dunia lkn uendeshaji wake ni PPP.
So far mafanikio ya BRT yapo chini ya malengo na kwa mtazamo wangu ni kwamba Serikali iliingia bila kujiandaa maana mchakato wa manunuzi haukufuata misingi mahususi ya mfumo wa PPP.
Serikali ikiweka National Negotiation Team thabiti tungeweza kuokoa pesa nyingi kupitia PPPs.
Maana kinachotakiwa ni kuwa na terms nzuri za win-win situation ili mwenye mtaji (mwekezaji) apate na Serikali mwisho wa siku nayo ipate/ifaidike.
I stand to be corrected Guys [emoji120][emoji120][emoji3048][emoji120]
PIA, SOMA:
- Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78
ROIs kwa miradi hii huwa inachukua muda mrefu ndiyo maana ushauri wa kitaalam huelekeza mikopo itoke ktk Benki za Maendeleo na siyo za Biashara.
Benki hizo hutoza riba ndogo sana na pia hutoa grace period ya takribani miaka 5 na muda wa marejesho huwa ni miaka mingi (20-50).
Ilihali benki za kibiashara hutoza riba kubwa, grace period ya mwaka na muda wa marejesho ni mfupi. Mikopo hii inafaa kwa ajili ya miradi ya uzalishaji zaidi kama vile ujenzi wa viwanda na mambo yenye kuweza kutengeneza hela za haraka haraka.
Reli, barabara, umeme, ujenzi wa majengo ya huduma za kijamii ni baadhi ya mambo/ miradi inayochukua muda mrefu kurejesha faida ya uwekezaji ambapo kama umechukua mkopo kutoka Benki hizi za kibiashara hutoweza kumudu madeni husika.
The other development financing options badala ya kukopa kutoka kwenye Benki za Kibiashara ni kupitia PPP (Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi).
Tuna Sera, Mkakati wa Utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni na Miongozo tangu mwaka 2009 (binafsi nimeshiriki mchakato wa uandaaji wa hizi nyaraka) lakini hadi leo hii mradi pekee wa wazi uliokamilika na wenye kutumia huu mfumo wa PPP ni huu wa BRT (mwendokasi - Dar) japo wenyewe ni mkopo wa Benki ya Dunia lkn uendeshaji wake ni PPP.
So far mafanikio ya BRT yapo chini ya malengo na kwa mtazamo wangu ni kwamba Serikali iliingia bila kujiandaa maana mchakato wa manunuzi haukufuata misingi mahususi ya mfumo wa PPP.
Serikali ikiweka National Negotiation Team thabiti tungeweza kuokoa pesa nyingi kupitia PPPs.
Maana kinachotakiwa ni kuwa na terms nzuri za win-win situation ili mwenye mtaji (mwekezaji) apate na Serikali mwisho wa siku nayo ipate/ifaidike.
I stand to be corrected Guys [emoji120][emoji120][emoji3048][emoji120]
PIA, SOMA:
- Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78