Mantiki ya Waziri lazima atokane na Ubunge vs Viti 10 vya ubunge kwa Rais

Mantiki ya Waziri lazima atokane na Ubunge vs Viti 10 vya ubunge kwa Rais

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa nini katiba inataka mawaziri wote wanaoteuliwa kuwa mawaziri wawe wabunge?

Kama lengo lilikuwa ni kwa sababu wabunge wameaminiwa na wananchi wapiga kura mbona kuna viti 10 vya ubunge ambavyo Rais anaweza kuteua wabunge na kisha akawatea kama mawaziri? Zaidi sana mawaziri wateuliwa wala hawatijiki kuthibitishwa na bunge?!
 
Back
Top Bottom