jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 42
Hey Manu you Fans
Leo kuna game ya manu vs Celtic 7pm ET.
Nilikua naomba kujua huu ni muda gani kwa saa za Tanzania
Natanguliza shukrani
Tuna tofauti ya masaaa Saba (7) kati yetu na Canada.... so kama mechi itachezwa saa 7 pm kwa saa za kwao inamaana unatakiwa hapo utoe masaa 7 nyuma ili upate mda kamili wa hapa.. na kwa hesabu ya harakaharaka ni hivi
WAO ..........................SISI
7am (morning) (+7) = 2pm(noon(daytime))
19pm(evening) (+7) = 2am (midnight)
and the thread ends just like that huh??? au tuiendeleze wakati wa mechi??