Mdau Hilo soko km lipo Basi tujuze nasisi ...naiona fursa ya upigaji..wanapima vinasaba (DNA) za mkojo kugundua km ni wa sungura? ...vinginevyo wajikuta wanapigwa mix ya hatari.Wakuu habarini!?, kumekuwa na habari za mkojo wa Sungura kuwa ni dili sana mjini. Naomba kujuzwa huu mkojo wa Sungura unauzwa na kununuliwa wapi hapa Tz. Pia kwa wanaojua bei yake kwa lita 5 anijuze pia wakuu. Asanteni
Mh! Wakazi gani huo?
Mdau Hilo soko km lipo Basi tujuze nasisi ...naiona fursa ya upigaji..wanapima vinasaba (DNA) za mkojo kugundua km ni wa sungura? ...vinginevyo wajikuta wanapigwa mix ya hatari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uko Dar, pitia kwenye Masoko makubwa ya mbogamboga, ndo wanawajua wanunuzi ambao ni wakulima wa mboga mboga zisizotumia kemikaliHuo haufai kuchakachua, utajulikana tu mkuu. Ila nikipata soko nitakujuza mkuu
siko anza kulitafuta kwa kutoa elimu kwa wakulima haswa WA mboga mboga.mkojo WA sungura Ni mbolea nzuri Sana,Bongo Kuna wakulima wengi piga promo then uza.TUache kulala Na kulalamika.
Duh nina sungura wengi tu ..sasa mkojo nitaukusanya vip wakuu ....kumbe ni dilii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahh shukrani mkuu nitalifanyia kazi hili.Unaweza uteka kama majo ya mvua kwa kuwawekea flo y wavu na bati