bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 44
- 84
Ahmed Ally inaonekana unatusaliti sana shida nini?
Unafiki hautokaa uishe duniani
Kwanini?Unafiki hautokaa uishe duniani
Ahmed Ally anajifanya kaumia ili akija kuleta nahau zake kwenye media aonekane mwambaKwanini?
sio kweliNi ukweli usiofichika kwamba MANULA anatuhujumu, kama mnataka tufike salama, huyuasisogee uwanjani kabisa.
Aidha Ahmed Ally inaonekana unatusaliti Dana shida ni ni? Unaweza ku stepdown kimyakimya na maisha yaendelee.
Aliwachomesha nini sasa
1) goal la kwanza musonda anafunga point blank header hii hakuna kipa anatoa
2) goal la pili maxi zengeli anapiga shuti Kali akiwa 1 to 1 na manula hapa kipa unamlaumu Nini
3) mtu mbaad anawapiga toba mabeki na kipa wao... Hapa manula hakuona kitu
4) goal la nne maxi anafanya tap in, yaani uache laumu mabeki kina tshabalala walikua wanamsindikiza mzize kama anaenda panda basi stend ya magufuli unamlaumu manula kweli?..
5) Kono la nyani hili lilipatikana kwa penalty sitaki hata kulitolea ufafanuzi
Manula Leo kachoma goli la kwanza mechi na prison, jamaa katanguliza mpira mkubwa sana Kipa Gani unatoka unasita unaanza kurudi nyuma?
Mkasema majini, kuyategemea haya majini mbona yatawapumbaza akili badaka ya juhudi binafsi za mchezaji mmojammoja ,(individual skills)Ni ukweli usiofichika kwamba MANULA anatuhujumu, kama mnataka tufike salama, huyuasisogee uwanjani kabisa.
Aidha Ahmed Ally inaonekana unatusaliti Dana shida ni ni? Unaweza ku stepdown kimyakimya na maisha yaendelee.
Inonga anajua kucheza na shabiki, kajichizisha kijinga tu, na angeguswa pale ungeona jinsia angeruka .Goli la pili kashomesha inonga makusudi kabisa. Pale kilimuangusha nini? Yaani huyu inonga hana tofauti sana na mwamnyeto kiuchezaji. Wachomeshaji sana
Ujanja ujanja tu kukwepa lawamaHv pale kwenye shambulizi lililoleta goal la kwanza Inonga alipatwa na nn[emoji1787]
Alipigwa chenga akapata kizunguzungu kikali,akasingizia kuumia baada ya kuchomeshaHv pale kwenye shambulizi lililoleta goal la kwanza Inonga alipatwa na nn🤣