Manula arudi uwanjani kwa maslahi ya taifa

Manula arudi uwanjani kwa maslahi ya taifa

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
"Aish kukaa nje hakulisaidii taifa, kuna michuano mikubwa inakuja kumuweka Aish kikosi B sio vizuri, Aish anaitaji kua langoni sio kwa maslahi yake bali kwamaslahi ya taifa. wakati mwingine taifa linapaswa kuingilia kati mambo kama haya kwa maslahi ya taifa. Kuna wakati wa Brazili walimwambia Neymar aende kucheza soka la kulipwa Ulaya ili awe na uzoefu ea kutosha kuelekea kombe la dunia 2014 ndio maana Neymar alienda kuchezea Barcelona mwwaka 2013. hii ndo ilivyo kwa Aish kwa sasa, tunakabiliwa na michuano ya kufuzu kwenda Afkon mwaka 2025 na michuano ? Aish anapaswa kuwa golini" Edo kamwambe
mnakubaliana na Edo kamwambe??
Screenshot 2024-08-21 101521.png
Screenshot 2024-08-21 101548.png
 
"Aish kukaa nje hakulisaidii taifa, kuna michuano mikubwa inakuja kumuweka Aish kikosi B sio vizuri, Aish anaitaji kua langoni sio kwa maslahi yake bali kwamaslahi ya taifa. wakati mwingine taifa linapaswa kuingilia kati mambo kama haya kwa maslahi ya taifa. Kuna wakati wa Brazili walimwambia Neymar aende kucheza soka la kulipwa Ulaya ili awe na uzoefu ea kutosha kuelekea kombe la dunia 2014 ndio maana Neymar alienda kuchezea Barcelona mwwaka 2013. hii ndo ilivyo kwa Aish kwa sasa, tunakabiliwa na michuano ya kufuzu kwenda Afkon mwaka 2025 na michuano ? Aish anapaswa kuwa golini" Edo kamwambe
mnakubaliana na Edo kamwambe??View attachment 3075437View attachment 3075439
Credit: Edo wa Mwanaspoti.
 
Edo kalipwa sh ngapi na manula? Hatuwezi chezesha mtu mbovu kisa tu taifa.. Kuna vijana wengine wapewe nafasi hao, brazil hao hao walishawahi kumuacha romario, guardiola alimpiga chini joe hart na hali uingereza ndio alikuwa golie namba moja wao.
Kwa taifa gani kwanza? Hili hili tanzania ama jingine?

Simuungi mkono edo.
 
Hatuna timu ya taifa sisi, au kwa maslahi ya taifa lipi na akacheze wapi
 
Huyu jamaa aliimbwa sana kiasi usingedhania atapata hitimisho la namna hii.
 
Tumefikia wakati wachambuzi wanalazimisha timu fulani imchezeshe mchezaji fulani, alooo.

Alichonishtua zaidi katika post yake ni kuandika tena kwa herufi kubwa "MANULA LAZIMA ACHEZE". Nani yupo nyuma ya maandiko yake? Maneno kama haya hautasikia hata siku moja yakitamkwa kwa Yanga labda kama mwandishi hajitaki. Simba imekuwa na ustaarabu wa kupitiliza hadi watu wa hovyo hawaogopi kuitamkia maneno ya hovyo hovyo.

Juhudi kubwa zinaendelea kufanyika kuiyumbisha Simba.
 
Hana akili huyo Eddo. Yeye kamuona Manula peke yake kutoka simba kwamba ndiye anaetegewa na taifa ili taifa liingilie?

Mbona hamsemei mshery wa Yanga kupigwa benchi na Diara? Au kwamba Mshery siyo Mtanzania?

Au kwamba hakuna kipa mwingine Tz tofauti na Manula ambae anaweza kuandaliwa kwa ajili ya timu ya taifa?

Au Eddo keshapokea hela za GSM ili apige makelele Aishi apangwe ili simba iendelee kufungwa magoli ya kizembe kama lile la Tz prison?

Akome kutupangia nani acheze na nani asicheze. Kama vipi amsajili kwenye timu yake ili awe anacheza kila mechi .
 
"Aish kukaa nje hakulisaidii taifa, kuna michuano mikubwa inakuja kumuweka Aish kikosi B sio vizuri, Aish anaitaji kua langoni sio kwa maslahi yake bali kwamaslahi ya taifa. wakati mwingine taifa linapaswa kuingilia kati mambo kama haya kwa maslahi ya taifa. Kuna wakati wa Brazili walimwambia Neymar aende kucheza soka la kulipwa Ulaya ili awe na uzoefu ea kutosha kuelekea kombe la dunia 2014 ndio maana Neymar alienda kuchezea Barcelona mwwaka 2013. hii ndo ilivyo kwa Aish kwa sasa, tunakabiliwa na michuano ya kufuzu kwenda Afkon mwaka 2025 na michuano ? Aish anapaswa kuwa golini" Edo kamwambe
mnakubaliana na Edo kamwambe??View attachment 3075437View attachment 3075439
Apambanie namba. Hakuna janja janja hapa
 
Bas kama kwa maslahi ya taifa akacheze viwanja vya ikulu na Abdul......wakati wa mechi za timu ya taifa ataitwa....
 
Hana akili huyo Eddo. Yeye kamuona Manula peke yake kutoka simba kwamba ndiye anaetegewa na taifa ili taifa liingilie?

Mbona hamsemei mshery wa Yanga kupigwa benchi na Diara? Au kwamba Mshery siyo Mtanzania?

Au kwamba hakuna kipa mwingine Tz tofauti na Manula ambae anaweza kuandaliwa kwa ajili ya timu ya taifa?

Au Eddo keshapokea hela za GSM ili apige makelele Aishi apangwe ili simba iendelee kufungwa magoli ya kizembe kama lile la Tz prison?

Akome kutupangia nani acheze na nani asicheze. Kama vipi amsajili kwenye timu yake ili awe anacheza kila mechi .
Anasahau Ally Salum alidaka mechi ngumu na Zambia tena ugenini na tukashinda. Manula sasa hivi ni golikipa namba 4 wa Simba na kama unamuhesabu Ayoub, basi Manula anakuwa #5. Hata kwenye rotation hatoboi.
 
Anasahau Ally Salum alidaka mechi ngumu na Zambia tena ugenini na tukashinda. Manula sasa hivi ni golikipa namba 4 wa Simba na kama unamuhesabu Ayoub, basi Manula anakuwa #5. Hata kwenye rotation hatoboi.
Katika pumba zote alizowahi kuongea safari hii kaongea pumba hasa.
 
Back
Top Bottom