Kalpana akiridhia, nipo tayari kumnunulia hii jezi. Naomba wadau mlio karibu naye mumbembeleze tafadhali, ili aikubali hii ofa yangu. Natambua fika amejitosheleza kimaisha. Ila ndiyo hivyo tena, zawadi ni zawadi.Salaam Wana jf
Baada ya a Simba kuruhusu hamsa ya kichapo Cha Karne 5__1 binafsi niliamini kipa langu la viwango manula ni mbovu Kwa kuruhusu kichapo hicho heavyweight
Maajabu yake nimeona maajabu aliyoyafanya Jana jamaa bado yupo vizuri makolo waboreshe eneo la ulinzi
NB inawezekana ubora wa manula ulichangiwa ukuta wa yericko wa Yanga View attachment 2818561
Mshaipunguza makali...ingekua Kibu hayupo ingeuzika sana..ila mkandaji kashawakanda na kuwatolea CV...ingekua 5 kwa Sufuri ingependeza sana...mtaniKalpana akiridhia, nipo tayari kumnunulia hii jezi. Naomba wadau mlio karibu naye mumbembeleze tafadhali, ili aikubali hii ofa yangu. Natambua fika amejitosheleza kimaisha. Ila ndiyo hivyo tena, zawadi ni zawadi.
Akumbuke tu hela ya kumnunulia hii jezi nimeipata baada ya kuuza nyanya chungu zangu debe kadhaa kwa wachuuzi. Nipo siriaz.
Manula ni mbovu sana kwenye krosiSalaam Wana jf
Baada ya a Simba kuruhusu hamsa ya kichapo Cha Karne 5__1 binafsi niliamini kipa langu la viwango manula ni mbovu Kwa kuruhusu kichapo hicho heavyweight
Maajabu yake nimeona maajabu aliyoyafanya Jana jamaa bado yupo vizuri makolo waboreshe eneo la ulinzi
NB inawezekana ubora wa manula ulichangiwa ukuta wa yericko wa Yanga View attachment 2818561