Manula ni golikipa au ni pazia?


Wanadai jamaa haoni vyema. Hata Goli la leo , limeingia kisha yeye ndo karuka
 
MANULA NI MUOGA NA MOYO WAKE NI YANGA

Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Simba , nimemfuatilia kwa karibu manula kwa mechi alizocheza na yanga ni dhahiri hakubali yanga kufungwa, hivyo yeye ni mmoja wa wachezaji wanaoisaidia Simba kufungwa, hii imedhibitishwa na magoli aliyofungwa duru la kwanza na mechi ya Leo Yana ufanano, hii mechi alipaswa kudaka kakolanya na siyo huyu , manula ni kipa mzuri kwenye mazoezi na si kwenye derby Kama hii.
Huyu dhahiri pamoja anaichezea Simba sports club ila moyoni mwake ni yanga.
Hali kadhalika kocha mkuu hafai kwani ni mtu asiyechukua maamuzi sahihi kwa wakati kwa kutokufanya substitution mapema.

Nashauri manula asipangwe Hadi msimu uishe wa duru la pili, pia kocha mkuu amalizie msimu aende zake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpigaji apewe sifa na heshima yake. That was unstoppable.
 

KAANGALIE VIZURI LILE GOLI HATA GLKIPA WA LIV ADAKII.MKUU
1) AKWENDA MBALI
2) MPAKA SASA TFF WANAWAZA SPEED ILE.IMETOKEA WAPI.WANAJUA.UKITOKEA.MBALI NA MPIRA SPEED KUBWA HII AWAJAELEWA
3) SIOKWANIA.MBAYA UKUYAKA AENDELEE KUISHI ILE SPPED ANGEGUSA.MKO NAE LUGALO HOSPT..
5) KALALAMIKE KW.AMKUDE NDIE CHANZOO CHANFOUL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…