Manula siyo goalkeeper,acheni kumbemba

Mkuu lakini kama goli la kwanza niliona kama mzamiru alimsindikiza jamaa hadi akapata nafasi ya kupiga shuti lililozaa goli

Sent using Jamii Forums mobile app
Goli la.kwa mdhamiri alipokonywa mpira na.hata baada ya kuponywa mpira alimsindikiza mchezaji wa yanga mpaka.goli linafungwa. Tatizo la Simba ni kucheza na mashabiki, dharau na kutojituma kwa kasi, nimempenda Kanda alivyokuwa anatia presha golini kwa Yanga. Ila manula anabeba lawama za magoli yote kwa kutokuwa mtulivu golini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unamshauri awe anasimama kwenye mstari wa goli muda wote?! Rage akiongea mnalalamika.
 
Kuna mwaka ilipigwa game kati ya Egypt na Tanzania pale Cairo, Egypt wakiwa wa moyo. Jamaa walitugonga 5-0! Wkt tunapigwa goli la 4, Manula fasta fasta anaokota mpira nyavuni kurudisha kati! Sikumuelewa alikuwa anataka nn?
Mkuu lakini kama goli la kwanza niliona kama mzamiru alimsindikiza jamaa hadi akapata nafasi ya kupiga shuti lililozaa goli

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli simba walipopata goli la pili walirelax sana na kudharau wenzao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya leo Yanga inastahili pongezi.
Kwa upande wa Manula anastahili kulaumiwa kwa magoli yote mawili yaliyofungwa na Yanga.
1. Goli la kwanza ata kama mzamilu alifanya kosa la kumsindikiza mfugaji, lakini kosa hilo lingeweza kufutwa na Manula kama asingekuwa ametoka golini(kiufupi ana tatizo la kujipanga na kujisahau).
2.Goli la pili licha ya kushindwa kuwapanga mabeki wake(hasa hasa mohamed Hussein) pia alisaidia kwa namna ya kipekee kuusukuma mpira wavuni. Mohamed Mwajema alikuwa hafungwi magoli ya namna hii, never , never.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…