kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,216
- 1,062
Nahitaji kufanya manunuzi Amazon, lakini nashindwa kufanya malipo kwasababu system inanijibu kwamba muuzaji hawezi kutuma mzigo kuja Tanzania.
Wazoefu na hili huwa mnafanyaje?
Sellers Amazon au eBay hawaship to TZ. Any alternative? Ni kampuni gani ya Parcel Forwarding from UK to Tz ambayo wabongo wanaitumia kwa gharama nafuu?
Swali la nyongeza: Bidhaa ile ile, seller yule yule, lakini bei ni nafuu at Amazon, bei ni kubwa at eBay. Why this?
Wazoefu na hili huwa mnafanyaje?
Sellers Amazon au eBay hawaship to TZ. Any alternative? Ni kampuni gani ya Parcel Forwarding from UK to Tz ambayo wabongo wanaitumia kwa gharama nafuu?
Swali la nyongeza: Bidhaa ile ile, seller yule yule, lakini bei ni nafuu at Amazon, bei ni kubwa at eBay. Why this?