manyanyasodawasa
New Member
- Sep 7, 2022
- 1
- 1
Nawasalimu katika Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania,
Dawasa ni Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam, ikiwa na mikoa ya kihuduma mbalimbali likiwamo tawi letu la Ubungo. Tawi hili ofisi zake zipo Kimara matangini.
Katika tawi letu kumekuwa na manyanyaso sana, wafanyakazi tunaingia ofisini saa MOJA asubuhi na kutoka saa NNE usiku kinyume cha utaratibu, kufanya kazi weekend bila malipo yoyote tunayolipwa kwa kufanya kazi nje ya muda wa kazi, likizo tunanyimwa, tunatishiwa kufukuzwa kazi.
Viongozi wetu wa tawi hawaambiliki, hawashauriki! hatuna pa kuhemea. Kupitia waraka huu tunaomba jicho la tatu litazame unyanyaswaji huu unaofanywa na Meneja wa tawi na wasaidizi wake ukomeshwe mara moja. Haki na ustawi wa wafanyakazi ipatikane.
Dawasa ni Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira mkoa wa Dar es salaam, ikiwa na mikoa ya kihuduma mbalimbali likiwamo tawi letu la Ubungo. Tawi hili ofisi zake zipo Kimara matangini.
Katika tawi letu kumekuwa na manyanyaso sana, wafanyakazi tunaingia ofisini saa MOJA asubuhi na kutoka saa NNE usiku kinyume cha utaratibu, kufanya kazi weekend bila malipo yoyote tunayolipwa kwa kufanya kazi nje ya muda wa kazi, likizo tunanyimwa, tunatishiwa kufukuzwa kazi.
Viongozi wetu wa tawi hawaambiliki, hawashauriki! hatuna pa kuhemea. Kupitia waraka huu tunaomba jicho la tatu litazame unyanyaswaji huu unaofanywa na Meneja wa tawi na wasaidizi wake ukomeshwe mara moja. Haki na ustawi wa wafanyakazi ipatikane.