JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Binti mwenye umri wa miaka 14, Silvan Tumaini Isdori Mkazi wa Mtaa wa Majengo ya zamani Babati Mjini Mkoani Manyara amejiua kwa kujinyonga na chandarua chumbani kwake mara baada ya kugombana na dada yake aliyekuwa anaishia naye.
Chanzo cha Ugomvi kimeelezwa kuwa ni baada ya dada wa Marehemu Victoria Tumaini kumuagiza marehemu sahani na kijiko ili wapakue chakula marehemu akaleta sahani bila kijiko.
Baada ya kuagizwa tena kijiko ndipo marehemu akamwambia dada yake kuwa nimechoka kutumwatumwa, ugomvi ukaanzia hapo na marehemu akachukua uamuzi wa kususia chakula na kwenda chumbani kwake na kujinyonga.
Source: Azam TV
Chanzo cha Ugomvi kimeelezwa kuwa ni baada ya dada wa Marehemu Victoria Tumaini kumuagiza marehemu sahani na kijiko ili wapakue chakula marehemu akaleta sahani bila kijiko.
Baada ya kuagizwa tena kijiko ndipo marehemu akamwambia dada yake kuwa nimechoka kutumwatumwa, ugomvi ukaanzia hapo na marehemu akachukua uamuzi wa kususia chakula na kwenda chumbani kwake na kujinyonga.
Source: Azam TV