Huu ndiyo utaratibu wa TAKUKURU siku hizi siyo wa kutoa taarifa ya matokeo ya kesi zilizotolewa maamuzi/hukumu mahakamani?
Kama ndivyo, hii inamaanisha nini kutoka TAKUKURU mkoa wa Manyara? Je, ni kwa sababu aliyehukumiwa ni mwenyekiti wa CCM na kwa hiyo wanataka attention ya wananchi ya kwamba, wafikiri na kusema...;
"...ala, kumbe na wale wa CCM huwa wanashitakiwaga na kuhukumiwa kwenda jela...!!??
I personally don't get the logic of this...