LGE2024 Manyara: TAKUKURU yatangaza kufanya Uchunguzi kwa Wagombea 3 wa CHADEMA na mgombea 1 wa CCM kwa madai ya rushwa!

LGE2024 Manyara: TAKUKURU yatangaza kufanya Uchunguzi kwa Wagombea 3 wa CHADEMA na mgombea 1 wa CCM kwa madai ya rushwa!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wanaukumbi,

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara, Bahati Stafu Haule, amesema kuwa taasisi hiyo inachunguza tuhuma nne zinazowahusu wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.

Kati ya wagombea hao, watatu wanatoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku mmoja akiwa ni mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Manyara: Wanawake Babati wataka kampeni za kistaarabu, uchaguzi ufanyike kwa amani

 
Wanaukumbi,

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara, Bahati Stafu Haule, amesema kuwa taasisi hiyo inachunguza tuhuma nne zinazowahusu wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji...
wawajibishwe bila huruma kwa mujibu wa sheria, ikithibitika,

ili iwe fundisho kwa watafuta uongozi kwa rushwa 🐒
 
Wanaukumbi,

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Manyara, Bahati Stafu Haule, amesema kuwa taasisi hiyo inachunguza tuhuma nne zinazowahusu wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vijiji.

Kati ya wagombea hao, watatu wanatoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku mmoja akiwa ni mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Manyara: Wanawake Babati wataka kampeni za kistaarabu, uchaguzi ufanyike kwa amani

Target ni chdema, huyo wa CCM ni geresha
 
Back
Top Bottom