Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchezo huo huku Orkesumet nauona sana, tembo siyo aiseeWanaogofya sana Wana speed kubwa,walichokozwa wakachokozeka wengi wamevunjwa miguu
Hii taarifa ni yalini mkuuTakriban Tembo 11 wamevamia maeneo mbalimbali katika mji mdogo wa Katesh wilaya ya hanang na kusababisha mauaji ya binadamu na kuharibu mazao mashambani.Idara ya wanyamapori chukueni hatua kabla maafa zaidi hayajatokea.
Huku ndo mara ya kwanza miaka ya karibuni,over 50yrs watu hawawajui Hawa jamaa,wanawapigia milele na miluzi wakavurugika.Polisi wanawachekea raia.Watu wa kusini Nachingwea, Tunduru, Liwale n.k washazoea kuishi na tembo sasa
Maana washalizwa na tembo mara nyingi. Tembo mpaka mjini wanafika
Ya leo mkuu Bado wapo mpaka sasa
Tutumie picha basi mkuuHuku ndo mara ya kwanza miaka ya karibuni,over 50yrs watu hawawajui Hawa jamaa,wanawapigia milele na miluzi wakavurugika.Polisi wanawachekea raia.
Ya leo mkuu Bado wapo mpaka sasa
Ni hanang sehemu gani mkuuHuku ndo mara ya kwanza miaka ya karibuni,over 50yrs watu hawawajui Hawa jamaa,wanawapigia milele na miluzi wakavurugika.Polisi wanawachekea raia.
Ya leo mkuu Bado wapo mpaka sasa
Hakuna picha tuwaone mkuu?Katesh na viunga vyake
Tunasubiri mkuuNatuma mkuu
Subiri wauone moto wa tembo.Huku ndo mara ya kwanza miaka ya karibuni,over 50yrs watu hawawajui Hawa jamaa,wanawapigia milele na miluzi wakavurugika.Polisi wanawachekea raia.
Ya leo mkuu Bado wapo mpaka sasa