Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Aliyekuwa Mhariri wa Habari wa gazeti la Mtanzania, manyerere Kacton amejiuzulu. Mpaka sasa sijapata habari za wazi kwa nini amechukua nafasi hiyo lakini ni dhahiri kuwa hatua yake italeta mabadiliko katika kampuni hiyo inayomiliki magazeti kadhaa.
Pia, inaweza kuwa njia ya kumhamisha kutoka hapo alipo na kumpeleka kuimarisha magazeti mengine ambayo yana maslahi na mabosi wake wa sasa
mpitia Njia, Wewe Pita Na Lwako Tu. Unategemea Mabadiliko Gani Kutoka New Habari Cooperation? Nadhani Hiyo Kampuni Ina-survive Kwa Ruzuku Tu Za Mmliki Wake, Ukweli Ni Kuwa Yamepoteza Wateja Sana Mimi Nikiwa Mmojawao.
Kwani Nhc Ina Magazeti Gani Mengineyo Zaidi Ya Mtanzania, Rai, The African, Dimba Na Bingwa? Hili La Bingwa Sijui Kama Bado Lipo Maana Silioni Siku Hizi. Zamani Nilikuwa Sikosi Dimba Jumapili Na Rai Alhamisi Lakini Sasa Hata Hayanivutii Tena.
Mpitia Njia, wewe pita na lwako tu. Unategemea mabadiliko gani kutoka New Habari Cooperation? Nadhani hiyo Kampuni ina-survive kwa ruzuku tu za Mmliki wake, ukweli ni kuwa yamepoteza Wateja sana mimi nikiwa mmojawao.
Kwani NHC ina magazeti gani mengineyo zaidi ya Mtanzania, Rai, The African, Dimba na Bingwa? Hili la Bingwa sijui kama bado lipo maana silioni siku hizi. Zamani nilikuwa sikosi Dimba Jumapili na Rai Alhamisi lakini sasa hata hayanivutii tena.
Manyerere Aje Ukumbini Atuambie Mambo Yanakwendaje,pia Naona Watu Waliokuwa Royal Kwa Ulimwengu Wanaondoka,kwani Rai Sasa Imedolola Kama Uhuru Na Mzarendo
hizi Habari Kuwa Amepewa Kazi Kwenye Magazeti Mapya Yanayotegemewa Kutoka....ajili Kuwasafisha Mafisadi ...nahisi Soon Mtamsikia Kwenye Magazeti Mapya Ya Mafisadi Kwa Ahadi Ya Donge Nono.....labda Nae Ameona Mbali Kama Salva....alivyoona...
Kwani Magazeti Ya Mtanzania Yanamilikiwa Na Nani? Halafu Mbona Gazeti La Rai Siku Hizi Ovyo Sana.
Hakika aje mwenyewe aseme, isije ikawa alikataa kitita kwa ajili ya kuwaosha Mafisadi. Akapewa option.
Na mwananchi nako nasikia watu kama sita hivi wanaachia ngazi leo. Kuna habari kuwa wanakwenda The Guardian Ltd. Kama kuna mwenye habari zaidi, please atuhabarishe