Manzi na mbwembwe zote za text za mambo ya kitandani, siku ya game hakuna kitu

Kwa hiyo ulikuwa na stop watch kwa ajili ya kuhesabu dakika?
 
Ngoja kwanza, umesema akakataa romance, then akalalamika anaumia?. Bro kuna mawili ni muuzaji na probably yupo na ugonjwa wa ngono.

Alafu anaweza kuwa na hizo mbwembwe kweli sema ni mgonjwa, uachege ukatili Bro sio poa kulazimisha wakati anaumwa kabisa huyo.
 
Inawezekana!
 
huyu mtoto akai goba kweli??? mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…