Kuna mwehu aliulizwa Kama Huko barabarani wanakolala hakuna baridi [emoji16] [emoji16]
Mwehu akasema: Asee kule Kuna baridi ile mbaya kiasi kwamba Kama hautakua serious na ukichaa wako, utarudi nyumbani kwenu: [emoji81] [emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] [emoji13]
Jamani Mimi sijavuta !!!
sent by OdryDrogen 🙂