Manzoki is red

Manzoki is red

Simba wenye akili timamu awajiangaishi na timu ya msimu huu kwakua walisha Sema sana kuhusu mapungufu ya timu Waka puuzwa.
Ni wale mbumbumbu tu wasio fahamu hatma ya timu ya msimu huu ila watu wa mpira walishaona kabla ya msimu auja anza.
 
Simba imemalizana na Cesar Manzoki na sasa striker huyo ambaye alikuwa akililiwa mno na mashabiki kiasi cha kutaka kusababisha taharuki atavaa uzi mwekundu, ataanza kuonekana dimbani kwenye gemu KMC.
Walikuja wakina Balinya na hakuna kitu alichofanya sisi kama mashabiki wa Yanga hatushtuki
 
Simba imemalizana na Cesar Manzoki na sasa striker huyo ambaye alikuwa akililiwa mno na mashabiki kiasi cha kutaka kusababisha taharuki atavaa uzi mwekundu, ataanza kuonekana dimbani kwenye gemu KMC.
Saafi sana wale jamaa🐸🐸 wa walienda kupiga picha 🤣🤣🤣
 
Ninachokumbuka siku ya mwananchi kuna mchezaji wa vipers alipewa mike asalimie wananchi.
 
Simba wenye akili timamu awajiangaishi na timu ya msimu huu kwakua walisha Sema sana kuhusu mapungufu ya timu Waka puuzwa.
Ni wale mbumbumbu tu wasio fahamu hatma ya timu ya msimu huu ila watu wa mpira walishaona kabla ya msimu auja anza.

Yanga wenye akili timamu hawapost nyuzi za kijinga kuikandia Simba wao wanazungumzia ubora wa timu yao tu. Huwezi ukawa na malengo ya kufanya vizuri kimataifa kwa kutumia kigezo cha udhaifu wa timu pinzani hapa nyumbani.
 
Labda masozi ila sio manzoki maana mchezaji mwenyewe hajui ana mkataba wa mda gani.
 

Attachments

  • Screenshot_20220821-185504.png
    Screenshot_20220821-185504.png
    45.6 KB · Views: 2
Hata kama hamuamini lakini deal la Manzoki ni Done
 
Huyo manzoki mngeeachana nae tuu kwani lazimaa?.mbona bila yeye tunawafumua tuuu tena goli nyingi nyingii tuu..
ajabu yani,Dunia nzima mshambuliaji ni Manzoki tu!?,kama dili lake alisomeki watafute mwingine.
 
Back
Top Bottom