smartfocus
Member
- Oct 4, 2015
- 62
- 50
Utakapo maliza hiyo likizo ujitahidi kuripoti kazini usije ukachukuliwa hatua za kinidhamu Mkuu.Salam kwenu.
Kama kichwa cha somo kinavyoeleza, ningependa kupata maoni, ushauri n.k pale inapotokea mtumishi wa umma (Serikali - Tanzania) anapopata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN n.k.
Je unaomba likizo bila malipo tu inatosha au kuna nyongeza?
Nina fahamu baadhi ya rejea chache katika STK na Waraka wa watumishi wa umma June 2016 ila ningependa kupata zaidi kutoka kwenu kuongezea rejea chache ninazozijua japo si kwa undani sana.
Nitanguliza shukrani zangu kwa maoni na uzoefu wenu katika hili.
Mkuu unaweza nipatia nami huo waraka?Salam kwenu.
Kama kichwa cha somo kinavyoeleza, ningependa kupata maoni, ushauri n.k pale inapotokea mtumishi wa umma (Serikali - Tanzania) anapopata kazi katika mashirika ya kimataifa kama UN n.k.
Je unaomba likizo bila malipo tu inatosha au kuna nyongeza?
Nina fahamu baadhi ya rejea chache katika STK na Waraka wa watumishi wa umma June 2016 ila ningependa kupata zaidi kutoka kwenu kuongezea rejea chache ninazozijua japo si kwa undani sana.
Nitanguliza shukrani zangu kwa maoni na uzoefu wenu katika hili.