Maombi hayatuepushi na mabaya

Maombi hayatuepushi na mabaya

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.

Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.

Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Ndugu zangu wanajamiiforums habari?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.

Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.

Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE

Asanteni kwa kunisikiliza.
Nadhani huna ufahamu juu ya nguvu ya maombi
 
Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.

Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.

Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE

Asanteni kwa kunisikiliza.
Je maombi yanafukuza mashetani?
 
Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.

Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.

Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE

Asanteni kwa kunisikiliza.
Binafsi maombi yamenisaidia mno katika maisha yangu. Omba kwa kuamini Mungu ataenda kutenda.
 
Kuna fedhuli alipigiwa maombi mpaka yakamkuta mabalaa usidharau maombi japo usitegemee maombi kama silaha pekee ndio maana ilipobidi kuzima kibetri maombi yakawekwa kando kidogo😀
 

Attachments

  • 20240724_152827.jpg
    20240724_152827.jpg
    17.6 KB · Views: 4
Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.

Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.

Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE

Asanteni kwa kunisikiliza.
Inategemea imani na maarifa yako ya kuomba.
 
Back
Top Bottom