Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Nadhani huna ufahamu juu ya nguvu ya maombiNdugu zangu wanajamiiforums habari?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.
Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.
Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE
Asanteni kwa kunisikiliza.
Je maombi yanafukuza mashetani?Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.
Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.
Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE
Asanteni kwa kunisikiliza.
Binafsi maombi yamenisaidia mno katika maisha yangu. Omba kwa kuamini Mungu ataenda kutenda.Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.
Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.
Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE
Asanteni kwa kunisikiliza.
Inategemea imani na maarifa yako ya kuomba.Ndugu zangu wanaJamiiForums habari?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu, Katika utafiti wangu wa miaka kadhaa hatimaye nimebaini kuwa maombi hayatuepushi na mabalaa yeyote kwenye hii dunia.
Na kuna muda huwa nachelea kuamini ile dhana ya kwamba kila kitu kilishapangwa, japo kwa maono yetu tunaona sisi ndiyo wenye maamuzi kwenye maisha ya kila siku.
Hitimisho ni kuwa yatupasa kujiandaa na hali yoyote nzuri au baya MAANA MAOMBI HAYATATUEPUSHA NA CHOCHOTE
Asanteni kwa kunisikiliza.
Ombeni watu wasiojulikana waishe na waliotekewa na kupotea kama kina Ben Saanane warudi.Hujui chochote kuhusu maombi, usipotoshe watu
Ombeni CCM itoke madarakaniš¤£Nadhani huna ufahamu juu ya nguvu ya maombi
Ombeni umaskini uishe katika nchi.Don't underrate the power of prayer.
Hasa kushukuru (Gratitude)
Ombeni umaskini uishe katika nchi.
What do you get in return after acknowledging?Prayer is about to acknowledge the higher power in ur life.
What do you get in return after acknowledging?