Faru dume
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 471
- 116
Mungu baba muumba mbingu na nchi na viumbe vyote,naomba Mungu ushushe mvua kubwa inayoambatana na upepo mkali maeneo ya viwanja vya Leaders ili utuondolee Laana itakayofanyika mahali pale,Mungu wangu naomba ishara na miujiza ikatendeke!
Kama ww unampenda Mungu toa koment nzur,km umfuas wa shetan toa koment mbaya.
Wote kwa pamoja tuseme Amen!
Kama ww unampenda Mungu toa koment nzur,km umfuas wa shetan toa koment mbaya.
Wote kwa pamoja tuseme Amen!
