Maombi kwa Ajili ya Freeman Mbowe kuvurumishwa kwa siku mbili mfululizo , ni kufunga na kuomba

Maombi kwa Ajili ya Freeman Mbowe kuvurumishwa kwa siku mbili mfululizo , ni kufunga na kuomba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio taarifa ambayo watu wote wapenda haki mnatakiwa kuifahamu , Ikumbukwe kwamba kumuombea Mbowe ni kuiombea nchi pia , ni kuomba haki itawale nchini na ni sawa na kuombea mafanikio ya KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI .

Maombi haya Mazito yatavurumishwa kwa siku mbili , Tarehe 7 na 8 za mwezi wa 9/2021

Wote Mnakaribishwa

#HakiHuinuaTaifa.jpg
 
Hii ndio taarifa ambayo watu wote wapenda haki mnatakiwa kuifahamu , Ikumbukwe kwamba kumuombea Mbowe ni kuiombea nchi pia , ni kuomba haki itawale nchini na ni sawa na kuombea mafanikio ya KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI .

Maombi haya Mazito yatavurumishwa kwa siku mbili , Tarehe 7 na 8 za mwezi wa 9/2021

Wote Mnakaribishwa

View attachment 1924517
Nami ninatambika leo kwa imani ya jadi yangu. Mungu na mizimu yote wamkinge na kumlinda Freeman.
 
Back
Top Bottom