Maombi kwa mafundi pikipiki

Maombi kwa mafundi pikipiki

Dransfield

Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
11
Reaction score
4
Nawasalimia kwa jina la jamuhuri kazi iendele

Kwa kifupi naomba kufikisha ombi langu kwenu wakuu.

Mimi kama kijana natamani sana kujifunza ufundi hasa wa pikipiki na vingine pia kwan ufundi ni hazina kubwa sana kwa mtu kwan hatujue leo wala kesho yetu. Ombi langu kwenu kama nitapata wakuniamini na kunipa ujuzi huu kutoka sehemu yake ya kazi nitashukur sn

Nina uzoefu kidogo katika vivaa (vipuri) vya pikipiki kwan nimesha wahi kuuza duka la spare za pikipiki

Mimi ni kijana wa miaka 25, machapa kazi, msikivu, muelewa, mvumilivu mwaminifu na mwepesi katika kujifunza niko Arusha. ( kwa maeneo yote ya arusha mjini naweza kufika).

kama kutakua na mawazo maongezi nko tayari kusikiliza, kama nimuusika au unaweza kuni connect pia nitashukuru.

Naomba kuwasilisha na kutanguliza shukurani.

Mungu awabariki sana.
 
Nilicho jifunza kwa siku hizi hamna kitu cha bure labda kwa mjomba wako tu hakikisha unatoa chochote kwanza

Mimi mwenyw natamani sn ufundi wa vivaa vya umeme nataka niende veta kwanza nikapate basic nije mtaani

Kila laher usikate tamaa tu naona tatizo ni jamii zetu wanakusema vibaya ukiwa hauna kitu kma kijana ukiwa omba hata ujuzi bado wanakukujia

Ngoja wajuzi wakupe muongozo.
 
Nilicho jifunza kwa siku hizi hamna kitu cha bure labda kwa mjomba wako tu hakikisha unatoa chochote kwanza

Mimi mwenyw natamani sn ufundi wa vivaa vya umeme nataka niende veta kwanza nikapate basic nije mtaani

Kila laher usikate tamaa tu naona tatizo ni jamii zetu wanakusema vibaya ukiwa hauna kitu kma kijana ukiwa omba hata ujuzi bado wanakukujia

Ngoja wajuzi wakupe muongozo.
kweli nashukur sn kwa mawazo mkuu
naamini safar ni atua namini nitafika tu
 
wakuu bado naomba msaada wenu nataka kuanza safar yangu hii
naomba sn kwa yoyote nipate fursa hyo naahidi kuto kumwangusha kwan mm ni mwaminifu
nitakubali kulipa hata kitu kidogo niwezeshwe naombeni sn msaada wenu
 
Mfumo wa pikipiki ni simple sana hauhitaj hata kozi.

Fanya hivi....

Tafuta kibanda jiran na barabara, nunua spana zako...hakikisha hukosi "star"

Acha walete pikipiki nakuhakikishia watakua wanatengeneza wenyewe we unawapa spana tu.

Kama unajiweza kidogo uweke hapo na tu-spare parts twa pikipiki na oil...umemaliza.

Ufundi wa pikipiki mostly ni kubadili spare. So utanufaika zaidi kupitia mauzo ya spare.

Ukiweza weka na gesi/mashine ya kuchomelea coz bodaboda nyingi zinaharibika kwenye "mizinga" na zinavunjika frame
 
Mfumo wa pikipiki ni simple sana hauhitaj hata kozi.

Fanya hivi....

Tafuta kibanda jiran na barabara, nunua spana zako...hakikisha hukosi "star"

Acha walete pikipiki nakuhakikishia watakua wanatengeneza wenyewe we unawapa spana tu.

Kama unajiweza kidogo uweke hapo na tu-spare parts twa pikipiki na oil...umemaliza.

Ufundi wa pikipiki mostly ni kubadili spare. So utanufaika zaidi kupitia mauzo ya spare.

Ukiweza weka na gesi/mashine ya kuchomelea coz bodaboda nyingi zinaharibika kwenye "mizinga" na zinavunjika frame
ndio ni kwel mkuu
nimetamani sn kujifunza kwa wataalam (mafundi) basic kwan nataka kuwa fundi kabisa kweny pikipiki naona kwa upande wangu sio vizur kuanza mwenyw bora nipate uzoefu kidogo

ndio alafu siko vizur pia ss kama vijana tunapambana tu
kwa ss nimeona niwekeze kweny ujuzi sn kuliko kutafuta faida naamini nikiwa na ujuzi utanisaidia sn baade ndio maana nimeamua kwa ss nijitoe tu kwenda kufanya (kutafuta ujuzi)
 
Nilicho jifunza kwa siku hizi hamna kitu cha bure labda kwa mjomba wako tu hakikisha unatoa chochote kwanza

Mimi mwenyw natamani sn ufundi wa vivaa vya umeme nataka niende veta kwanza nikapate basic nije mtaani

Kila laher usikate tamaa tu naona tatizo ni jamii zetu wanakusema vibaya ukiwa hauna kitu kma kijana ukiwa omba hata ujuzi bado wanakukujia

Ngoja wajuzi wakupe muongozo.

Mkuu me najua vyema kusuka amplify...yani ushidwe wew tu
Leta jiwe hilo nkupe madinii
 
Back
Top Bottom