Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Usiache kuombea madada wa vyuoni Mungu awape nguvu ya kushinda kujirahisisha kwa wanaumeee
Yaan hali sio nzuri ukijutana na madada kwenye basi akitaja chuo ukapata namba weekend ukonae
Najua bumu nk haliwasaidii sana ila mjitahidi kujitynza maana nyie n taifa la kesho
Tusitengeneze taifa la voongozi walio na ukimwi mtatia hasara serikali
Pale mliman city kuna service road kushoto kwenda mwenge
Kuna kabar kanaitwa kwa mama aisee nilikutana na pcs nzuri zinajiuza nikipouliza nkaambiwa za chuo hizo aisee na zinapanda gari zinatendwa zinarudi maisha yanaenda
Anyway wewe mwenye mtoto wa kike hizi tabia acha ujue iposiku mwanao atarithi hayaaàaà
Yaan hali sio nzuri ukijutana na madada kwenye basi akitaja chuo ukapata namba weekend ukonae
Najua bumu nk haliwasaidii sana ila mjitahidi kujitynza maana nyie n taifa la kesho
Tusitengeneze taifa la voongozi walio na ukimwi mtatia hasara serikali
Pale mliman city kuna service road kushoto kwenda mwenge
Kuna kabar kanaitwa kwa mama aisee nilikutana na pcs nzuri zinajiuza nikipouliza nkaambiwa za chuo hizo aisee na zinapanda gari zinatendwa zinarudi maisha yanaenda
Anyway wewe mwenye mtoto wa kike hizi tabia acha ujue iposiku mwanao atarithi hayaaàaà