Maombi wizara ya afya

Maombi wizara ya afya

May be fourth round,2nd ilipitaga
 
Kaka kwan unasikia yanaweza kuwa hewan lini?
 
Kuweni wavumilivu kila kitu kipo tayari ndio tupo hapa wizarani katika hatua za mwisho tunasubiri sahii ya katibu mkuu,yupo kikazi kidogo mjini Tokyo,kifupi competition ilikuwa kubwa mno na vijana wengi wa form six wamejitokeza kuomba
 
Kuweni wavumilivu kila kitu kipo tayari ndio tupo hapa wizarani katika hatua za mwisho tunasubiri sahii ya katibu mkuu,yupo kikazi kidogo mjini Tokyo,kifupi competition ilikuwa kubwa mno na vijana wengi wa form six wamejitokeza kuomba

naomba contact zako mkuu...
 
naomba contact zako mkuu...
kutokana na sababu za ki-intelijensia itakuwa ngumu kukupa,any way kama ni form six leaver katika miaka husika kwenye ngazi ya diploma huwezi kosa......kama ni form four bahati yako ita-determine
 
Haya kaka ngoja tusubiri huyo katibu mkuu arudi huko tokyo kwani naibu wake naye hayupo au vipi?
 
tusichoke na tusikate tamaa tumuombe tu mungu tutachaguliwa
 
wengine kazi yao kukatisha wenzao tamaa hivi mtu unajiskiaje mtz mwenzako kukosa nafasi ya chuo!?
msikate tamaa mloapply mtapata.
 
matokeo yatatoka muda wowote kuanzia wiki zijzo vijana tuvumilie tuendelee kumuomba mungu tu
 
Back
Top Bottom