Habari...
Napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa pumzi anayotupatia mpaka saa hiiš.....
Mimi ni mhitimu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo SUA (Sokoine University of Agriculture), with Bsc. Environmental Sciences and Management (recent graduate).
Niko hapa kuomba nafasi ya internship, volunteering ama kazi inayohusiana na career yangu tajwa hapo juu.
Makazi yangu ni Dar-es-salaam.
Naomba kuwasilisha.š
Napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa pumzi anayotupatia mpaka saa hiiš.....
Mimi ni mhitimu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo SUA (Sokoine University of Agriculture), with Bsc. Environmental Sciences and Management (recent graduate).
Niko hapa kuomba nafasi ya internship, volunteering ama kazi inayohusiana na career yangu tajwa hapo juu.
Makazi yangu ni Dar-es-salaam.
Naomba kuwasilisha.š