James Kimaka
Member
- Feb 27, 2022
- 6
- 8
Habari za muda huu ndugu zangu,
Kwa majina naitwa James Aloyce Kimaka nina umri wa miaka 24, ninaishi Dar-es-Salaam. Ninatafuta nafasi ya kazi ya udereva kwenye shirika kampuni au mtu binafsi.
Nina leseni yenye madaraja A, A2, D, C1, C2, C3, E. Nina uzoefu wa kutosha katika fani hii na pia nina cheti cha basic driving coursekutoka VETA.
Ninapatikana kwa namba 0743830515
Kwa majina naitwa James Aloyce Kimaka nina umri wa miaka 24, ninaishi Dar-es-Salaam. Ninatafuta nafasi ya kazi ya udereva kwenye shirika kampuni au mtu binafsi.
Nina leseni yenye madaraja A, A2, D, C1, C2, C3, E. Nina uzoefu wa kutosha katika fani hii na pia nina cheti cha basic driving coursekutoka VETA.
Ninapatikana kwa namba 0743830515