Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kwenye mfumo wao ipo sehemu ya payment na njia za kufanya na malipo. Ni dg mwenyewe kachagua hapo nikaona hamna namnaKuna vyuo vyengine ni bure ku apply [emoji3] mwaka 2018 MUCCoBS ilikuwa bure pia sijui sahivi
Ila swali la uzushi hujaona udism udom Sua ?
Nimechungulia website yao ina maelezo ya fee ya 10000 na unatakiwa upate namba kutoka kwao ndio ulipie kwa mtandao au bank. Hebu ingia tena taarifa hii unaisoma kabla ya kulog in. Jaribu.Simu nimepiga hazipatikani mkuu
Asante mkuu nimeona. Kumbe malipo unafanya baada ya kutuma maombiNimechungulia website yao ina maelezo ya fee ya 10000 na unatakiwa upate namba kutoka kwao ndio ulipie kwa mtandao au bank. Hebu ingia tena taarifa hii unaisoma kabla ya kulog in. Jaribu.