Brilliant Hamysa
Member
- Jan 6, 2014
- 73
- 9
Habari zenu wapendwa,, Napenda kujiunga nanyi kwa hii group,imenivutia sana ,, kama kuna mashart yeyote niambieni...
Habari zenu wapendwa,, Napenda kujiunga nanyi kwa hii group,imenivutia sana ,, kama kuna mashart yeyote niambieni...
mi sikukaribishi........wait sijasoma jinsia kumbe "ke" karibu saaaana.....teh teh kwi kwi kwi(najichekesha)
Karibu Mkuu brilly' Njoo usafishe roho na uponyeshe upekee (you will never regret) familiya ya pili ipo nawe.!!Good Luck...
mi sikukaribishi........wait sijasoma jinsia kumbe "ke" karibu saaaana.....teh teh kwi kwi kwi(najichekesha)
Sasa kama haujajiunga MMU ni vipi umeandika hii thread?
Karibu sana MMU...hakuna masharti yoyote isipokuwa weka heshima mbele kama tai.
Shukran mgeni ..pamoja. ubarikiweAhsanteeeeeh,
kwa kwa kwa kwa kwa ningekua me ,ucngenikaribisha
ningekwambia chumba kimejaaa