Maombi ya mikopo ya elimu ya juu

Maombi ya mikopo ya elimu ya juu

manfred datius

New Member
Joined
Jul 13, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Tunaomba bodi ya mikopo ituangalie kwa jicho la tatu ambao hatukufanikiwa kukamilisha kuwasilisha nyaraka zote za muhimu kwenye maombi ya mikopo
Hata kama muda wa maombi umeisha au watakao kosa kabisa basi mwezi wa kumi lifunguliwe dirisha jingine
 
Tunaomba bodi ya mikopo ituangalie kwa jicho la tatu ambao hatukufanikiwa kukamilisha kuwasilisha nyaraka zote za muhimu kwenye maombi ya mikopo
Hata kama muda wa maombi umeisha au watakao kosa kabisa basi mwezi wa kumi lifunguliwe dirisha jingine
Kwa nn hukukamil8sha boss
 
Wewe ni.mzembe..dirisha lilikua wazi toka mwezi wa sita mpaka tarehe 14 September
 
Yaani wewe toka mwezi wa saba mpaka leo hujamaliza process pole yako
 
Tunaomba bodi ya mikopo ituangalie kwa jicho la tatu ambao hatukufanikiwa kukamilisha kuwasilisha nyaraka zote za muhimu kwenye maombi ya mikopo
Hata kama muda wa maombi umeisha au watakao kosa kabisa basi mwezi wa kumi lifunguliwe dirisha jingine
Mimi nilisubmit kila kitu lakini juzi nimefungua mfumo wanasema sikukamikisha usajili
 
Back
Top Bottom