Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Uza simu kalipe ada wewe mtoto. Uko social networks halafu unasema maskini? Then unahadithia baba yako ana nguvu tu na ana uwezo wa kulijma? We mpuuzi kweli?
uza simu kalipe ada wewe mtoto. Uko social networks halafu unasema maskini? Then unahadithia baba yako ana nguvu tu na ana uwezo wa kulijma? We mpuuzi kweli?
Mtoto wa mkulima unamiliki simu yenye internet?samahani lakni.
Acheni kuhukumu, yeye
ameomba msaada, mpeni hata ushauri basi kuliko kumkashifu hivyoo? Dogo
usikatishwe tamaa na hawa jamaa, nenda kwa mbunge wako na umwambie shida
yako.
unajua bei ya mwsho ya
cm yeny intanet.?una uhakika ana milik cm?cmple mind discuss personality
nt fact.nimeshakuelewaa
Mtoto wa mkulima unamiliki simu yenye internet?samahani lakni.
simjibii mtoa hoja,im
just saying,kwa mfano mimi,nlinunua simu yangu yenye internet ambayo
ndiyo hii nayotumia hata kupostia nw kwa Tshs. 30,000/= tu ni Nokia 2730
classic,kwahiyo simu ya internet its nt a big deal nw adays,simu
unaweza hata pewa bure.