Maonesho ya Kimataifa ya Biashara: Taasisi za Umma Dhidi ya Maboresho

Maonesho ya Kimataifa ya Biashara: Taasisi za Umma Dhidi ya Maboresho

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Napongeza kwa jitihada zinazofanyika ktk kuandaa maonyesho ya kimataifa ya biashara na kuazimishwa kila mwaka.

Kwa kuwa ni maonyesho makubwa ya kibiashara na yamekuwa yakihusisha makampuni na taasisi za kibiashara toka ktk mataifa mbalimbali nina dhani kuna haja ya kutathmini athari zake Chanya na hasi ktk maendeleo ya taifa leo-Biashara,Uwekezaji na Viwanda.

Ninashauri Taasisi zote zisizo za kibiashara ziache kushiriki ili kupisha wigo wa fulsa kimazingira kwa wafanyabiashara,Wawekezaji,Wajasiliamali na wenye viwanda..Kuna taasisi hazina mashiko ya kuwa washiriki hivyo kupoteza fedha za walipa kodi pasipo sababu..Tujitafakari kwa dhati kama nchi..Japo ni kweli wengi wa watumishi kwao ni fulsa kimapato kuwepo ktk maonyesho husika.

Kwa sasa mfumo na muundo wa miundombinu ya viwanja vya maonyesho hau reflect dhana ya kimataifa kwa mapana yanayotakiwa sababu ya kuwa na sura ya gulio, mnada, soko, maonyesho, hivyo kuwa kama vurugu.

Mtiririko na mpangilio mzuri kwa wafanya maonyesho,watafiti biashara,wafanyabiashara,n.k ni muhimu ili kupata tija stahiki.

Kwa msingi huu nadhani ni wakati wa kutengeneza masterplan yenye ku involve features za kisasa kabisa za viwanja vya maonyesho kimataifa kama Canton Fair, Berlin etc. Tusiridhike na viingilio vya milangoni. Maonyesho yawe bridge ya kujenga fulsa kubwa kwa maendeleo ya taifa.

Maonyesho ya biashara yanapaswa kuchokonoa na kusisimua fikra,ubunifu,Ustadi,hisia za watanzania kushirikia fulsa mtambuka za kibiashara pia kuchochea ubunifu stahiki kwa maendeleo.

Tuangalie kwa kina mapinduzi ya teknolojia kupitia bidhaa za wenzetu wanaosafiri maelfu ya kilomita kuja kwetu..Kisha tufanye tathini ya nini kinaonyeshwa na waonyeshaji wetu.

Bado tuna safari ndefu. Kupanga ni kuchagua
 
Nafikiri kuna maonyesho mengine zaidi ya haya.
Haya ni changanyikeni.
 
Napongeza kwa jitihada zinazofanyika ktk kuandaa maonyesho ya kimataifa ya biashara na kuazimishwa kila mwaka.

Kwa kuwa ni maonyesho makubwa ya kibiashara na yamekuwa yakihusisha makampuni na taasisi za kibiashara toka ktk mataifa mbalimbali nina dhani kuna haja ya kutathmini athari zake Chanya na hasi ktk maendeleo ya taifa leo-Biashara,Uwekezaji na Viwanda.

Ninashauri Taasisi zote zisizo za kibiashara ziache kushiriki ili kupisha wigo wa fulsa kimazingira kwa wafanyabiashara,Wawekezaji,Wajasiliamali na wenye viwanda..Kuna taasisi hazina mashiko ya kuwa washiriki hivyo kupoteza fedha za walipa kodi pasipo sababu..Tujitafakari kwa dhati kama nchi..Japo ni kweli wengi wa watumishi kwao ni fulsa kimapato kuwepo ktk maonyesho husika.

Kwa sasa mfumo na muundo wa miundombinu ya viwanja vya maonyesho hau reflect dhana ya kimataifa kwa mapana yanayotakiwa sababu ya kuwa na sura ya gulio, mnada, soko, maonyesho, hivyo kuwa kama vurugu.

Mtiririko na mpangilio mzuri kwa wafanya maonyesho,watafiti biashara,wafanyabiashara,n.k ni muhimu ili kupata tija stahiki.

Kwa msingi huu nadhani ni wakati wa kutengeneza masterplan yenye ku involve features za kisasa kabisa za viwanja vya maonyesho kimataifa kama Canton Fair, Berlin etc. Tusiridhike na viingilio vya milangoni. Maonyesho yawe bridge ya kujenga fulsa kubwa kwa maendeleo ya taifa.

Maonyesho ya biashara yanapaswa kuchokonoa na kusisimua fikra,ubunifu,Ustadi,hisia za watanzania kushirikia fulsa mtambuka za kibiashara pia kuchochea ubunifu stahiki kwa maendeleo.

Tuangalie kwa kina mapinduzi ya teknolojia kupitia bidhaa za wenzetu wanaosafiri maelfu ya kilomita kuja kwetu..Kisha tufanye tathini ya nini kinaonyeshwa na waonyeshaji wetu.

Bado tuna safari ndefu. Kupanga ni kuchagua
nilipita hapo leo na huu ndio mtazamo wangu kuhusu maonyesho hayo.

1.Maonyesho yale ni kweli yanatija sana kama tutachukulia maanani kwelikweli kuna kampuni nyingi toka nje na wageni ni wengi pia.
2. Eneo la maonesho ni dogo isee nilizunguka kote nikamaliza kabla ya saa kumi na washiriki wamebanana maana ni wengi eneo dogo.

3.mpangilio ni mzuri kwa asilimia 70 panaeleweka vizuri tu na pale jiji na wenzao dcc wanatakiwa kwenda kujifunza kwa tantrade km kariakoo ikipagwa vile basi tutakuwa mfano hii africa.

4. Kuna mashirika ya serikali yanatia kiwingu sana yaani wapo pale kwa ajili ya perdiem tu waachie wafanyabiashara maeneo.

5. Kwa ujumla nimeridhishwa hongereni tantrade maonyesho mazuri yanavutia sana..na yanasura ya kimataifa kweli rekebishe mambo madogo madogo tu kama vyoo viwe vya kisasa sehemu za kula ziwe nyingi zaidi na nzuri na garden ziongezeke zaidi..
 
nilipita hapo leo na huu ndio mtazamo wangu kuhusu maonyesho hayo.

1.Maonyesho yale ni kweli yanatija sana kama tutachukulia maanani kwelikweli kuna kampuni nyingi toka nje na wageni ni wengi pia.
2. Eneo la maonesho ni dogo isee nilizunguka kote nikamaliza kabla ya saa kumi na washiriki wamebanana maana ni wengi eneo dogo.

3.mpangilio ni mzuri kwa asilimia 70 panaeleweka vizuri tu na pale jiji na wenzao dcc wanatakiwa kwenda kujifunza kwa tantrade km kariakoo ikipagwa vile basi tutakuwa mfano hii africa.

4. Kuna mashirika ya serikali yanatia kiwingu sana yaani wapo pale kwa ajili ya perdiem tu waachie wafanyabiashara maeneo.

5. Kwa ujumla nimeridhishwa hongereni tantrade maonyesho mazuri yanavutia sana..na yanasura ya kimataifa kweli rekebishe mambo madogo madogo tu kama vyoo viwe vya kisasa sehemu za kula ziwe nyingi zaidi na nzuri na garden ziongezeke zaidi..
Ila kwa sisi walalahoi kuna kitu nimeona ,mbona saba saba za miaka hii vitu bei ghali hakuna yale mapunguzo ya ukweli ,yaani nimeishia kununua biblia tu
 
Nafikiri kuna maonyesho mengine zaidi ya haya.
Haya ni changanyikeni.

We have to be specific ktk goals,Objectives na targets zetu..Tuna 8/8 very soon..Tupime matumizi vs tija..Tuna wiki ya utumishi wa Umma..

Mashirika ya kiserikali yasihusike na maonyesho ya kibiashara unless yana impact ya moja kwa moja matharani EPZA,TIC,BRELA..

Tunaweza kubuni aina nyingine ya maonyesho yenye kugusa sekta zingine mathalani..Maonyesho ya mashirika ya umma though hili laweza kuwa rotative ktk mikoa na kanda..

Maonyesho ya Wenye Viwanda Tanzania au Afrika Mashariki..
 
Back
Top Bottom