Maonesho ya Magari 2008

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Kama mnavyojua maonesho ya magari mapya ya msimu wa 2009 ndiyo yamemalizika katika jiji hili la magari (Motor City). Nilipata nafasi ya kwenda huko siku ya Jumamosi na niliyoyashuhudia ndiyo haya tatizo camera yangu iliishiwa mafuta mbele ya safari, so what I have I give it to thee!


Ingia kwenye KLH News na ufurahie picha zaidi ya 50 za magari ya kisasa, na unaweza kukomba uipendeyo na kuipost kwenye thread hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…