Maonesho ya utumishi wa Umma Mnazi mmoja

Maonesho ya utumishi wa Umma Mnazi mmoja

mwalwisi

Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
45
Reaction score
22
Wakuu kwa aliye na muda na yupo DSM apite mnazi mmoja kuna maonesho, Taasisi nyingi za umma zinaonesha shughuli zao. Kwa wale wapenda kilimo na ufugaji ni mahali pazuri sana kupata habari za kilimo, mbegu bora na zana za kilimo. Ukipata nafasi pita it is very educative (kwa msisitizo) nimetokea pale muda huu
 
Wakuu kwa aliye na muda na yupo DSM apite mnazi mmoja kuna maonesho, Taasisi nyingi za umma zinaonesha shughuli zao. Kwa wale wapenda kilimo na ufugaji ni mahali pazuri sana kupata habari za kilimo, mbegu bora na zana za kilimo. Ukipata nafasi pita it is very educative (kwa msisitizo) nimetokea pale muda huu

Dar es Salaam? badala ya Mbeya!
 
Back
Top Bottom