Tanzanite Digital Agency
Member
- Oct 19, 2020
- 75
- 238
Nitakuwa specific and short, but clear:
Nimeona threads nyingi JF wadau wengi sana haswa waliomaliza chuo kikuu, wakitumia mda mwingi kuomba connection za kazi lakini hakuna mafanikio hata kwa zaidi ya miaka. Huku wengine kuhisi wana mikosi au hawana bahati na kutoboa.
Basi, leo nitatoa somo fupi from my own experience na jinsi unaweza kulitumia kujipatia ajira au kazi bila kusumbua watu na connection.
Note:
Unavyotafuta business model ya kujifunza, angalia what's in demand ( service inayohitajika zaidi au ngeni) katika hiyo jamii au kwenye hiyo freelancing platform utakayojiunga. nimeona watu wengi wakikimbilia data entry na translation jobs, which is okay but kwa competition yake itabidi ujue jinsi ya kustand out au utakosa kazi kabisa.
Kujifunza zaidi, Connect with me via Youtube Channel - Learn with Murrah
Disclaimer:
Kila kitu nimeelezea, is from my own experience pia It's one of the things I do for a living, so there's no any BS or whatsoever. So, either you take it au you leave it but it's worth it.
Next thread: Jinsi ya kupata pesa yako from a freelancing platform kama Upwork, Freelancer na Fiverr.
(comment au like thread, nijue kama mpo interested niendelee kupost about this topic more)
Nimeona threads nyingi JF wadau wengi sana haswa waliomaliza chuo kikuu, wakitumia mda mwingi kuomba connection za kazi lakini hakuna mafanikio hata kwa zaidi ya miaka. Huku wengine kuhisi wana mikosi au hawana bahati na kutoboa.
Basi, leo nitatoa somo fupi from my own experience na jinsi unaweza kulitumia kujipatia ajira au kazi bila kusumbua watu na connection.
- Tafuta service au business model unayoipenda au una passion nayo sio lazima uliyosomea, let's say umechagua Facebook ads marketing, graphics design, data entry, language translation au video editing.
- Kama hauna experience nayo, jaribu kusacrifice ule mda unatumia instagram au na marafiki, kuisoma hyo service au biashara kwa japo wiki 3 au 4 kulingana na uwezo wako hadi utakapo kuwa confident with it. Materials zipo kila kona online, jaribu kuangalia proven YouTube videos, kununua course za watu waliobobea kwenye hiyo sekta, kusoma blogs n.k
- Jiamini, and get to the internet, Tafuta kampuni zilizo na upungufu wa service yako mfano, unaweza kuta kampuni kubwa lakini kutumia Facebook ads kwa matangazo hawajui, au wanatumia graphics design au video mbovu katika matangazo yao. Jaribu kuwatumia audit au report unayoweza kuwasaidia kuimprove kwenye hiyo sekta. Pia unaweza kuwapa free trial kuapprove uwezo wako, ila kama hautapenda any deal mtakayofikia... piga chini and move on to the next company.
- (Step 4, hii ni alternative lakini nitaelezea zaidi next time) Sign up for any good freelancing platform for free, register yourself, and list your service. Make sure you stand out from the crowd.
- Jaribu kuwa active na profession - Unaweza kwenda mbali zaidi ukatengeza business website yenye page moja tu iliyokuelezea zaidi na service yako na happy customers wako sio lazima uwe na wateja, just a social proof factor... (Hii ni factor kubwa sana, japo tunaichukulia easy). Kazi ya kwanza kuipata itakua ngumu lakini ukifanikiwa na kupata feedback nzuri. Things won't be the same for you.
- Perfect it more, ukifanikiwa kupata clients au kampuni. Jaribu kutengeneza mahusiano mazuri nao na uwape huduma iliyo bora. Unaweza pata mikataba mirefu na mizuri.
Note:
Unavyotafuta business model ya kujifunza, angalia what's in demand ( service inayohitajika zaidi au ngeni) katika hiyo jamii au kwenye hiyo freelancing platform utakayojiunga. nimeona watu wengi wakikimbilia data entry na translation jobs, which is okay but kwa competition yake itabidi ujue jinsi ya kustand out au utakosa kazi kabisa.
Kujifunza zaidi, Connect with me via Youtube Channel - Learn with Murrah
Disclaimer:
Kila kitu nimeelezea, is from my own experience pia It's one of the things I do for a living, so there's no any BS or whatsoever. So, either you take it au you leave it but it's worth it.
Next thread: Jinsi ya kupata pesa yako from a freelancing platform kama Upwork, Freelancer na Fiverr.
(comment au like thread, nijue kama mpo interested niendelee kupost about this topic more)